Intro
Hohohoo hohoo hoho
Hohohoo hohoo hoho
Stanza 1
Salamu ulizonitumia aaa
Zimenifikia aaa
Nipo salama hata usijali
Nalishwa vitamu
Vinono najilia aaa
Biryani ya ngamia aaa
penzi twa dalikana poo kidali
Bridge
Nimekusahau nakumbuka tu lako jina
Kidogo angalu
Ungeng’oa mizizi sio kukatashina
Penzi wakapanda dau
Mjini baba pesa fitina
Mimi ukanidharau
Visenti haba mfuko umechina
Nando uwezo wangu ulipoishia
(Ningekupa nini tena )
Kula yangu yakupapasia
{hukumeza ukatema}
Mimi sina gari
(Ningekupa nini tena)
Oooooooh
{hukumeza ukatema}
Eeeeeeeh
Chorus
Nadeke nadekezwa
Nadeke nadekezwa
Nadeke nadekezwa
Nadeke nadekezwa
Nadeke nadekezwa
Nadeke nadekezwa
Nadeke nadekezwa
Nadeke nadekezwa
Stanza 2
Yani mashamushamu, mtoto kanikabiri
Hadi na come come kumi na mbili alfajiri
Na nishamvisha nyota cheo chake kikubwa cha mapenzi
Kanijaza kanichota kanishika pabaya
Nakutadharisha simu za usiku punguza
Unahatarisha penzi langu moto kuunguza
Bridge
Nimekusahau nakumbuka tu lako jina
Kidogo angalu
Ungeng’oa mizizi sio kukatashina
Penzi wakapanda dau
Mjini baba pesa fitina
Mimi ukanidharau
Visenti haba mfuko umechina
Nando uwezo wangu ulipoishia
(Ningekupa nini tena )
Kula yangu yakupapasia
{hukumeza ukatema}
Mimi sina gari
(Ningekupa nini tena)
Oooooooh
{hukumeza ukatema}
Eeeeeeeh
Chorus
Nadeke nadekezwa
Nadeke nadekezwa
Nadeke nadekezwa
Nadeke nadekezwa
Nadeke nadekezwa
Nadeke nadekezwa
Nadeke nadekezwa
Nadeke nadekezwa
Find Mbosso – Nipepee (Zima Feni) lyrics here:
https://mutaha.com/entertainment/mbosso-nipepee-zima-feni-lyrics/
Watch Mbosso – Nadekezwa video here: