Stanza 1
Mmmh mmh
Hali yangu mbaya, anifikiria akipata muda (akipata muda)
Moyo ameshaugawa, pakacha penzi linavuja (limeshavuja)
Mwenzie ninapagawa nahisi uchizi, na network haisomi
Mmmh
Anayofanya si sawa nakosa usingizi, mwilini miwasho na vichomi
Eeee iiiii
Bridge
Mwambie, kuachwa mateso nasulubiwa
Mwenzie, yatima wa penzi mwana mkiwa
Ooh mie, mapenzi ugonjwa nimezidiwa
Ni yeye, mwengine sioni kunitibia
Chorus
(Kilio oo kilio oo)
Kilio na penzi langu
(Kilio oo kilio oo)
Huruma hana
(Kilio oo kilio oo)
Yarabi Mola wangu
(Kilio oo kilio oo)
Japo simama
Stanza 2
Ye ndio barafu, niliemlia yamini
Pemba karafu, marashi yangu mwilini
Utamu wa dafu, mbona ameuitia kwinini
Amenichezea rafu, penzi amelikafini
Eeeeh
Ye anajivinjali mwenzake nadoda
Napata tu habari anagawa uroda
Tetemeko moyo kupenda uoga
Najiepusha mbali kukwepa vihoja
Bridge
Mwambie, kuachwa mateso nasulubiwa
Mwenzie, yatima wa penzi mwana mkiwa
Ooh mie, mapenzi ugonjwa nimezidiwa
Ni yeye, mwengine sioni kunitibia
Chorus
(Kilio oo kilio oo)
Kilio na penzi langu
(Kilio oo kilio oo)
Huruma hana
(Kilio oo kilio oo)
Yarabi Mola wangu
(Kilio oo kilio oo)
Japo simama
Outro
Moyo wangu bado
(Mteke mteke)
Asinikondeshe mwenzake bado
(Mteke mteke)
Asinizeeshe mi mdogo bado
(Mteke mteke)
Asinokomaze roho moyo bado
(Mteke mteke)
Watch the Official Lava lava – Kilio video here:
https://www.youtube.com/watch?v=e-2J0EZ_7ss
Find also Lava lava – Teja lyrics here: