Stanza 1
Ana jicho la kukonyeza na mikogo kashakira
Nyuma mkia pweza shepu katapira
Mechi tunazozicheza kitandani fundikira
Ameniweza napumua kwa mipira
Bridge
Tenaa
Kiuno laini chuchu dodododo
Kitovuni kipini mtoto jojojojo
Avae dera kimini nyuma rojorojo
Katoto ndizi maini yani sotojotojo
Chorus
Aaaaahh go gaga
(Aaa eee)
Fanya kama unataga
(Aaa eee)
Tuzivunje chaga
(Aaa eee)
Ongeza mazagazaga
(Aaa eee)
Aaaaahh go gaga
(Aaa eee)
Fanya kama unataga
Tuzivunje chaga
(Aaa eee)
Ongeza mazagazaga
Basi waonyeshe waone waone
Basi waonyeshe waone
Waonyeshe waone
Basi waonyeshe waone waone
Basi waonyeshe waone
Waonyeshe waone
Basi waonyeshe
Stanza 2
Mungu alikuumba kwa udongo we mtoto fire
(fire, fire)
Kuta janipa mazongo ukija retire
(tire, tire)
Zidishe uhondo stimu za kaya
(kaya, kaya)
Sichururu ndondondo penzi likapwaya
(pwaya, pwaya)
Unavyonichanganya manuva
Kiuno spidi kama msuva
Kwako napona
Maajabu samaki nguva
Mchezoni unavyonifungafunga
Magoli ya koona
Bridge
Tenaa
Kiuno laini chuchu dodododo
Kitovuni kipini mtoto jojojojo
Avae dera kimini nyuma rojorojo
Katoto ndizi maini yani sotojotojo
Chorus
Aaaaahh go gaga
(Aaa eee)
Fanya kama unataga
(Aaa eee)
Tuzivunje chaga
(Aaa eee)
Ongeza mazagazaga
(Aaa eee)
Aaaaahh go gaga
(Aaa eee)
Fanya kama unataga
Tuzivunje chaga
(Aaa eee)
Ongeza mazagazaga
Basi waonyeshe waone waone
Basi waonyeshe waone
Waonyeshe waone
Basi waonyeshe waone waone
Basi waonyeshe waone
Waonyeshe waone
Basi waonyeshe
Watch the Official Lava lava – Go Gaga video here:
https://www.youtube.com/watch?v=9_4RXAg4pqk
Find Lava lava – Tuachane lyrics here: